Magistrates Court (Approved Forms for the Primary Court)
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
MAHAKAMA YA TANZANIA
Katika Mahakama ya Mwanzo ya Wilaya ya ………………………………
Kituo cha ……………………………… Mkoa wa ………………………………
KIAPO CHA MUWASILISHA KUITWA SHAURINI
Mimi ……………………………… mkazi wa ……………………………… mwenye anuani ya Makazi ……………………………… nathibitisha/naapa kwamba nimuwasilisha hati ya kuitwa shaurini wa Mahakama. tarehe …… mwezi …… mwaka …… nilipokea kuitwa shaurini iliyotolewa na Mahakama ya ……………………………… katika shauri la Jinai Na....Mwaka …… na iliyomtaka ……………………………… kufika Mahakamani tarehe …… mwezi …… mwaka …… Nimewasilisha kuitwa shaurini ipasavyo/sikuwasilisha kuitwa shaurini ipasavyo kwa sababu ………………………………
UTHIBITISHO
Mimi ……………………………… Ninathibitisha kuwa kiapo hiki ni kweli tupu tarehe …… mwezi …… mwaka ……
MUAPAJI
IMETHIBITISHWA hapa …… na ………………………………
ambaye ametambulishwa kwangu na ………………………………
ambaye ninaruhusu leo ……………………………… tarehe …… mwezi …… mwaka ……
MBELE YANGU
Jina ………………………………
Sahihi ………………………………
Tarehe ……
Anuani ………………………………
Cheo ………………………………