WITO KWA MDHAMINI (FOMU JINAI 12)
Magistrates Court (Approved Forms for the Primary Court)
GN. No. 943 (Contd.)
FOMU JINAI - 13
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
MAHAKAMA YA TANZANIA
Katika Mahakama ya Mwanzo ya Wilaya ya ………………………………
Kituo cha ……………………………… Mkoa wa ………………………………
Mlalamikaji ………………………………
Mshtakiwa ………………………………
WITO KWA MDHAMINI
(Aya ya 17(1) Nyongeza ya III ya Sheria ya Mahakama za Mahakimu)
Jina ………………………………
Makazi ………………………………
Anuani ya Makazi ………………………………
Barua Pepe ………………………………
Jinsia ………………………………
Umri ………………………………
Simu ………………………………
Kazi ………………………………
FAHAMU KWAMBA, Mshtakiwa hakufika Mahakamani kujibu shtaka dhidi yake kama ilivyoanriwa na Mahakama hii, fiunga la dhamana ulilothibitisha kulitoa katika shauri hili litataifishwa, unatakiwa kufika bila kukosa katika Mahakama hii siku ya Tarehe ……………………………… mwezi ……………………………… mwaka ……………………………… saa ……………………………… asubuhi/mchana kutoa sababu kwa nini usilipe fungu hilo la dhamana.
IMETOLEWA Kwa Anri na Muhuri wa Mahakama leo tarehe ……………………………… mwezi …… mwaka ……
HAKIMU