HATI YA UPEKUZI (FOMU JINAI 17)
Maelezo ya Mahakama
Maelezo ya Upekuzi
Mpokeaji
Tarehe
Sahihi ya Hakimu

Magistrates Court (Approved Forms for the Primary Court)

GN. NO. 943 (Contd.)

FOMU JINAI - 17

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

MAHAKAMA YA TANZANIA

Katika Mahakama ya Mwanzo ya Wilaya ya ………………………………

Kituo cha ……………………………… Mkoa wa ………………………………

Mlalamikaji ………………………………

Mshtakiwa ………………………………

HATI YA UPEKUZI

(Aya ya 13 ya Nyongeza ya III ya Sheria ya Mahakama za Mahakimu sura ya 11)

KWA:

MKUU WA KITUO, ………………………………

Unaamriwa na Mahakama hii kufanya upekuzi katika ……………………………… iliyopo katika eneo la ……………………………… Wilaya ya ……………………………… Mkoa wa ……………………………… na kuzingatia muda wa upekuzi saa 12:30 asubuhi hadi saa 12:30 jioni.

Hati hii inakuidhinisha na kukuamuru ufanye upekuzi katika mali ……………………………… na taarifa au matokeo ya upekuzi yahifadhiwe kwa umakini na yawasilishwe Mahakamani.

Hati hii imetolewa kwa Amri na Muhuri wa Mahakama leo tarehe ……………………………… mwezi ……………………………… mwaka ………………………………

HAKIMU

24