HATI YA KIFUNGO (FOMU JINAI 18)
Magistrates Court (Approved Forms for the Primary Court)
GN. No. 943 (Contd.)
FOMU JINAI - 18
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
MAHAKAMA YA TANZANIA
Katika Mahakama ya Mwanzo ya Wilaya ya ………………………………
Kituo cha ……………………………… Mkoa wa ………………………………
Mlalamikaji ………………………………
Mshtakiwa ………………………………
HATI YA KIFUNGO
Kwa kuwa ……………………………… amekosa kwa kufanya ……………………………… na kwa mujibu wa sheria, Mahakama hii imeamuru aturikie adhabu ya kifungo cha ……………………………….
Hati hii inakuidhinisha na kukuamuru umpokea ……………………………… na kumuweka chini ya uangalizi wako katika kipindi chote cha kifungo hicho katika ……………………………….
Kwa Mkuu wa Gereza ………………………………
Hati hii imetolewa kwa Amri na Muhuri wa Mahakama leo tarehe ……………………………… mwezi ……………………………… mwaka ………………………………
HAKIMU