MAOMBI YA UTHIBITISHO WA ADHABU (FOMU JINAI 19)
Magistrates Court (Approved Forms for the Primary Court)
GN. No. 943 (Contd.)
FOMU JINAI - 19
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
MAHAKAMA YA TANZANIA
Katika Mahakama ya Mwanzo ya Wilaya ya ………………………………
Kituo cha ……………………………… Mkoa wa ………………………………
Mlalamikaji ………………………………
Mshtakiwa ………………………………
MAOMBI YA UTHIBITISHO WA ADHABU
(Aya ya 7 Nyongeza ya II ya sheria ya Mahakama za Mahakimu) Kwa Hakimu Mkazi Mfawidhi
Mahakama ya Wilaya ………………………………
Kwa kuwa leo tarehe ……………………………… mwezi ……………………………… mwaka ……………………………… Mshtakiwa ……………………………… ametiwa hatiani mbele yangu kwako ……………………………… na amehukumiwa ………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
Na kwa kuwa Mahakama hii haina mamlaka ya kutoa bila uthibitisho hivyo ninakutumia
jalada kwa ajili ya uthibitisho wa adhabu hiyo.
Hati hii imetolewa kwa Amri na Muhuri wa Mahakama leo tarehe ……………………………… mwezi ……………………………… mwaka ………………………………
HAKIMU