FOMU JINAI 21
Maelezo ya Mahakama
Maelezo ya Kesi
Tarehe
Sahihi ya Hakimu

Magistrates Court (Approved Forms for the Primary Court)


GN. NO. 943 (Contd.) FOMU JINAI - 21

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

MAHAKAMA YA TANZANIA

Katika Mahakama ya Mwanzo ya Wilaya ya..................................................

Kituo cha.............................. Mlalamikaji ..............................

Mshtakiwa ..............................

Mkoa wa..................................

HATI YA KUKAMATA MALI KWA MALIPO YA FAINI/FIDIA/GHARAMA

(Aya ya 5(3)(4) Nyongeza ya III ya Sheria ya Mahakama za Mahakimu)

Kwa ........................................

Kwa kuwa ............................ (mshtakiwa) tarehe ....... mwezi ....... mwaka ........... Mahakama hii ilimtia hatiani kwa kosa la ......................................................... na alihukumiwa kulipa faini /fidia/gharama ya shilingi ............................................ na hajalipa.

Mahakama imeamuru mali yake/zake ambayo/ ambazo ni ..........................................

..............................................................................................................

..............................................................................................................

.............................................................................................................. ziuzwe ili kufidia faini/fidia/gharama ambayo haijalipwa.

Kwa hati hii Mahakama inakuamuru na kukutaka wewe .......................................... kukamata mali yake kwa thamani ya faini/fidia/gharama ya shilingi ............................

Imetolewa na Mahakama leo, tarehe........ mwezi....... mwaka.........

HAKIMU

29