Maelezo ya Mahakama
Maelezo ya Mshtakiwa
Maelezo ya Shtaka
Maelezo ya Kuhudhuria Mahakama
Tarehe ya Kutolewa
Saini za Wanaohusika
Tarehe ya Kupokea

Magistrates Court (Approved Forms for the Primary Court)


Gx. No. 943 (Contd.) FOMU JINAI - 3

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

MAHAKAMA YA TANZANIA

Katika Mahakama ya Mwanzo ya Wilaya ya ………………………………………………………………

Kituo cha ……………………………………………………………… Mkoa wa ………………………………………………………………

KUITWA SHAURINI MSHTAKIWA

(Aya ya 9 Nyongeza ya III ya sheria ya Mahakama za Mwanzo)

Kwa …………………………………………………………………………………

Kwa kuwa imelazimika ubudhurie ili ujibu shtaka dhidi yako

la:- …………………………………………………………………………………

Unaamriwa na Mahakama uhudhurie mbele ya Mahakama hii

siku ya ……………………………………………………………… tarehe ……………………………………………………………… mwezi ……………………………………………………………… mwaka ……………………………………………………………… saa ……………………………………………………………… ……………………………………………………………… asubuhi/mchana ili shauri liweze kusikilizwa.

Endapo utashindwa kuhudhuria siku na maada uliopangwa hapo juu, na ikithibitika kwamba umepokea kuitwa shaurini, hati ya kukamatwa itatolewa dhidi yako.

Hati hii imetolewa kwa Amri yangu na Muhuri wa Mahakama hii leo tarehe ……………………………………………………………… mwezi ……………………………………………………………… mwaka ………………………………………………………………

 

HAKIMU

Nimepokea nakala hii ya kuitwa shaurini leo tarehe ……………………………………………………………… mwezi ……………………………………………………………… mwaka ………………………………………………………………

 

(Sahihi ya mshtakiwa)

9