Maelezo ya Mahakama
Maelezo ya Mshtakiwa
Maelezo ya Mdhamini
Maelezo ya Kesi
Tarehe
Saini za Wanaohusika

Magistrates Court (Approved Forms for the Primary Court)


Gx. No. 943 (Contd.) FOMU JINAI - 5

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

MAHAKAMA YA TANZANIA

Katika Mahakama ya Mwanzo ya Wilaya ya ………………………………………………………………

Kituo cha ……………………………………………………………… Mkoa wa ………………………………………………………………

HATI YA DHAMANA

(Aya ya 14 &16 Nyongeza ya III ya Sheria ya Mahakama za Makakina)

Jina ………………………………………………………………

Makazi ………………………………………………………………

Anuani ya Makazi ………………………………………………………………

Barua Pepe ………………………………………………………………

Jinsia ………………………………………………………………

Umri ………………………………………………………………

Simu ………………………………………………………………

Kazi ………………………………………………………………

Mimi ……………………………………………………………… anayeshtakiwa mbele ya

Ninamdhamini ……………………………………………………………… Mahakama hii kwa kosa la ………………………………………………………………

nitahakikisha mshitakwa anafika mbele ya Mahakama hii kwa wakati kila anapohitajika wakati wote mpaka shauri litakapomalizika.

Nimefahamishwa kama akikosa kufika mbele ya Mahakama naweza kulazimishwa kulipa

funga la dhamana la shilingi ………………………………………………………………

fungu la dhamana la shilingi  
Sahihi ya Mdhamini
 
Sahihi ya Mshitakiwa
 
Sahihi ya karani wa Mahakama
 

tarehe ……………………………………………………………… mwezi ……………………………………………………………… mwaka ………………………………………………………………

11