Maelezo ya Mahakama
Maelezo ya Gereza
Maelezo ya Mshtakiwa
Maelezo ya Kesi
Muda wa Mahabusu
Kuja Mahakamani
Kutolewa kwa Hati
Sahihi

Magistrates Court (Approved Forms for the Primary Court)


Gx. No. 943 (Contd.) FOMU JINAI - 6

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

MAHAKAMA YA TANZANIA

Katika Mahakama ya Mwanzo ya Wilaya ya ………………………………………………………………

Kituo cha ……………………………………………………………… Mkoa wa ………………………………………………………………

HATI YA MAHABUSU

(Aya ya 15 ya Nyongeza ya III ya Sheria ya Mahakama za Mahakama)

KWA:

MKUU WA GEREZA, ………………………………………………………………

………………………………………………………………

Kwa kuwa ……………………………………………………………… ameshtakiwa leo mbele ya

Mahakama hii kwa kosa la: ………………………………………………………………

……………………………………………………………… na

ameamriwa kuwekwa mahabusu mpaka tarehe …… mwezi …… mwaka ……

Kwa Hati hii nakuidhinisha na kukuamuru umpokee ……………………………………………………………… na

umuweke katika ulinzi wako na kumleta katika Mahakama hii

saa …… asubuhi/mchana tarehe hiyo tajwa hapo juu.

Hati hii imetolewa kwa Amri na Muhuri wa Mahakama leo tarehe …… mwezi …… mwaka ……

HAKIMU

12