Magistrates Court (Approved Forms for the Primary Court)
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
MAHAKAMA YA TANZANIA
Katika Mahakama ya Mwanzo ya Wilaya ya ………………………………
Kituo cha ……………………………… Mkoa wa ………………………………
HATI YA KUMTOA MSHTAKIWA MAHABUSU
KWA: ………………………………
MKUU WA GEREZA, ………………………………
Kwa kuwa ……………………………… yupo chini ya ulinzi wako akiwa
mahabusu hadi tarehe …… mwezi …… mwaka ……
Unaamriwa na Mahakama hii kumtoa na kumkabidhi chini ya ulinzi wa Askari ………………………………
bila ya kukosa ili amlete mbele ya Mahakama hii tarehe …… Mwezi ……
Mwaka …… saa …… ………………………………
Hati hii imetolewa kwa Amri na Muhuri wa Mahakama leo tarehe …… mwezi …… mwaka ……
HAKIMU