MAOMBI YA KUFUNGUA DAAWA (FOMU MADAI 1)
Magistrates Court (Approved Forms for the Primary Court)
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
MAHAKAMA YA TANZANIA
Katika Mahakama ya Mwanzo ya Wilaya ya ..................................................
Kituo cha .............................. Mkoa ..................................
Mwombaji/Mdai ..............................
Mjibu Maombi/Mdaiwa ..............................
MAOMBI YA KUFUNGUA DAAWA
(Kanuni ya 5(1) ya Kanuni za Utaratibu wa Madai katika Mahakama za Mwanzo)
Taarifa za Muombaji
Jina ....................
Makazi ....................
Anuani ya Makazi ....................
Simu ....................
Jinsia ....................
Umri ....................
Kazi ....................
Barua pepe ....................
Naomba Mahakama hii kufungua shauri la ....................
Maelezo yanayojenga daawa;-
..............................................................................................................
..............................................................................................................
..............................................................................................................
Maombi haya yamewasilishwa leo, tarehe ........ Mwezi ....... Mwaka .........
Muombaji yamepokelewa leo tarehe ........ Mwezi ....... Mwaka .........
Karani wa mahakama
Madai haya yapo/hayapo sahihi kwa mujibu wa sheria hivyo (yafunguliwe kama shauri la .................... /yasifunguliwe) kwa sababu ....................
..............................................................................................................
..............................................................................................................
HAKIMU