KUITWA SHAURINI MDAIWA (FOMU MADAI 3)
Maelezo ya Mahakama
Wahusika
Maelezo ya Kuitwa
Tarehe na Saa ya Mahakama
Tarehe ya Kutolewa
Sahihi ya Hakimu
Kukubali Madai
Sahihi ya Mdaiwa
Maelezo ya Kuwasilisha
Sahihi ya Mwasilisha

Magistrates Court (Approved Forms for the Primary Court)


GN. NO. 943 (Contd.) FOMU MADAI - 3

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

MAHAKAMA YA TANZANIA

Katika Mahakama ya Mwanzo ya Wilaya ya ..................................................

Kituo cha .............................. Mkoa ..................................

Shauri la Madai/Ndoa Na ........................ /20...........

Jina la mdai ..................................................

Jina la Mdaisra ..................................................

KUITWA SHAURINI MDAIWA

(Kanuni ya 18 ya Kanuni za taratibu Madai Katika Mahakama za Mwanzo)

Kwa ................................................................................

Kwa kuwa Mdai/Wadai ameleta/Wameleta madi yake/yao kwamba (Eleza hapa habari za Madai).

..............................................................................................................

..............................................................................................................

hiyo unatakiwa kuhudhuria binafsi katika Mahakama hii tarehe ........ Mwezi ....... Mwaka ......... Saa ........ ........ kwa mujibu wa madai hayo na kwa kuwa siku hiyo ni siku ya kusikilizwa shauri hili ni lazima kuleta shahidi/mashahidi wako na vielelezo vyote vinavyohusu shauri hili kwa ajili ya kujitetea.

ANGALIZO:

Kama hautohudhuria siku iliyotajwa hapo juu na ikithibitika kuwa ulipokea hati ya kuitwa shaurini, Mahakama inaweza kusikiliza shauri bila ya wewe kuwepo.

Hati hii imetolewa kwa Amri na Muhuri wa Mahakama hii leo tarehe ........ Mwezi ....... Mwaka .........

HAKIMU

FAHAMU:

1. Iwapo unafikiria kuwa mashahidi wako hawatahudhuria kwa hiari yao wenyewe unaweza kupewa hati ya kuitwa shaurini katika Mahakama hii ya kuwalazimisha mashahidi wote wahudhurie na kupeleka hati yoyote inayohitajiwa mbele ya Mahakama. Unaweza kuiomba Mahakama kwa kulipa ada ipasavyo.

2. Iwapo unalikubali madai haya ili kuepuka kutimilizwa kwa hukumu ambayo huenda ikawa juu yako au juu ya mali yako au yote mawili; Malipo yalipwe kwa mdai au wadai. Nimepokea nakala hii ya kuitwa shaurini leo tarehe ........ Mwezi ....... Mwaka .........

(Sahihi ya Mdaiwa)

Nimewasilisha kuitwa shaurini leo tarehe ........ Mwezi ....... Mwaka .........

(Sahihi ya Mwasilisha Kuitwa Shaurini)