KIAPO CHA MUWASILISHA KUITWA SHAURINI (FOMU MADAI 4)
Magistrates Court (Approved Forms for the Primary Court)
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
MAHAKAMA YA TANZANIA
Katika Mahakama ya Mwanzo ya Wilaya ya ..................................................
Kituo cha ..............................
Shauri la Madai Na ........................ /20...........
......................................... ..................................
Jina la mdai .................................................. Jina la Mdaiwa ..................................................
KIAPO CHA MUWASILISHA KUITWA SHAURINI
(Kanuni ya 19(3)(b) ya Kanuni za Utaratibu wa Madai Katika Mahakama za Mwanzo)
Mimi ................................................ nathibitisha/naapa kwamba nimuwasilisha hati ya kuitwa shaurini wa Mahakama.
Tarehe ........ Mwezi ....... Mwaka ......... nilipokea kuitwa shaurini iliyotolewa na Mahakama ya .......................................................... katika shauri la Madai/Ndoa Na ................ Mwaka ....................... na iliyomtaka ......................................... kufika Mahakamani tarehe ............... Mwezi .............. Mwaka ................
Nimewasilisha kuitwa shaurini ipasavyo/sikuwasilisha kuitwa shaurini ipasavyo kwa sababu ......................................................................................................
...............................................................................................................
UTHIBITISHO
Mimi ............................................................... Ninathibitisha kuwa kiapo hiki ni kweli tupu
Tarehe ................. Mwezi .................... Mwaka ......................
MUAPAJI
IMETHIBITISHWA hapa
....................................................... na ..........................................
ambaye ametambulishwa kwangu na ..............................
ambaye ninamfahamu leo
Tarehe ....... Mwezi .................... Mwaka .......
MUAPAJI
MBELE YANGU
Jina.........................................
Sahihi .........................................
Tarehe .........................................
Anuani .........................................
Cheo .........................................