KUITWA SHAURINI SHAHIDI KATIKA SHAURI LA MADAI (FOMU MADAI 5)
Magistrates Court (Approved Forms for the Primary Court)
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
MAHAKAMA YA TANZANIA
Katika Mahakama ya Mwanzo ya Wilaya ya ..................................................
Kituo cha .............................. Mkoa ..................................
Shauri la Madai/Ndoa Na ........................ /20...........
Jina la mdai ..................................................
Jina la Mdaiwa ..................................................
KUITWA SHAURINI SHAHIDI KATIKA SHAURI LA MADAI
(Kanuni ya 31 ya Kanuni za Utaratibu wa Madai katika Mahakama za Mwanzo)
Kwa ................................................................................
Anuani ................................................................................
Makazi ................................................................................
Simu ................................................................................
Barua Pepe ................................................................................
UNAAMRIWA kuhudhuria mbele ya Mahakama hii tarehe ........ Mwezi ....... Mwaka ......... saa ........ kwa ajili ya kutoa ushahidi katika shauri hili.
Iwapo hautohudhuria siku iliyotajwa hapo juu na ikithibitika kuwa ulipokea hati ya kuitwa shaurini, Mahakama inaweza kusikiliza shauri bila ya wewe kuwepo na kutoa hukumu dhidi yako.
Hati hii imetolewa kwa Amri na Muhuri wa Mahakama hii leo tarehe ........ Mwezi ....... Mwaka .........
HAKIMU