About Us

Welcome to Wakili Mtandao

Your Trusted Digital Legal Partner in Tanzania

Revolutionizing Legal Services in Tanzania

Wakili Mtandao ilianzishwa mwaka 2024 kwa lengo la kurahisisha upatikanaji wa huduma za uwakili kielektroniki ndani na nje ya Tanzania, bila kujali umbali, masaa 24 kila siku.

Tunatoa ushauri wa kisheria katika nyanja zote za sheria, ikiwa ni pamoja na usimamizi wa mashauri kwenye mahakama, mabaraza na tume mbalimbali za usuluhishi.

Uandaaji wa nyaraka za kisheria (Viapo, Hati ya malalamiko, Hati ya majibu)
Kuthibitisha nyaraka (Notary Public & Commissioner for Oaths)
Usajili wa makampuni na taasisi mbalimbali
Upatikanaji wa vyeti vya kuzaliwa, kifo, ndoa, talaka na ufilisi

Usiache haki yako ipotee – Tupo Kukusaidia!

2024
Year Founded
24/7
Service Availability
1000+
Happy Clients
6+
Expert Team

Dedicated Legal Professionals

Experienced lawyers and support staff committed to serving you

Nicodemus Mbukoti

Nicodemus Mbukoti

Mkurugenzi Mtendaji (CEO)

Corporate Law & Leadership

Contact
Kelvin Stony

Kelvin Stony

Tech

Legal Tech & Innovation

Contact
Adv Dorothea Joseph Mwani

Adv Dorothea Joseph Mwani

Associate

Criminal & Civil Litigation

Contact
Adv Yahaya Yusufu Mbonde

Adv Yahaya Yusufu Mbonde

Associate

Commercial Law

Contact
Adv Sara Samu Kamugisha

Adv Sara Samu Kamugisha

Partner

Legal Research & Advisory

Contact
Adv Aurelia Chitimbwa

Adv Aurelia Chitimbwa

Associate

Legal Research & Advisory

Contact
Leah Justine Mollel

Leah Justine Mollel

Associate

Management

Contact

What Drives Us

The principles that guide our service delivery

Accessibility

Legal services available 24/7, anywhere in Tanzania

Integrity

Upholding the highest ethical standards in all we do

Efficiency

Fast, reliable legal solutions without compromise

Confidentiality

Your information is protected with utmost care

Need Legal Assistance?

Our team is ready to help you with your legal needs